Ni zaidi ya watu 400 walikua ndani ya jumba hilo lenye mkusanyiko wa maduka mbalimbali na
| baada ya milio hiyo ya risasi hali ta taharuki ilitanda na kila mmoja kukimbia huku na kule kwa kuhofia usalama wake. |
| Polisi walipigiwa simu na muda mfupi baadae tayari walikua
wamelizingira jengo hilo na kuanza kusaka risasi zinatokea wapi kabla ya
kuja kugundua kwamba ni mtu mmoja aliepiga hizo risasi na baadae yeye
mwenyewe kukutwa amejiua. Hakuna mtu yeyote aliepoteza maisha zaidi yake na pia hakuna mtu yeyote aliejeruhiwa. |