Ikiwa
imesalia siku moja tu kabla ya zoezi la kubomoa kwa hiari nyumba na
mabanda yaliyopo kando mwa barabara Makete-Njombe eneo la makete mjini,
kamera yetu imenasa picha za muonekano wa eneo la sokoni Makete mjini
kama unavyoona, tayari nyumba zimebomolewa na nyingine zinaendelea
kubomolewa.(Picha hii na Edwin Moshi)
Habari kubwa Magazetini Kenya leo March 3, 2025
6 months ago