WAKAZI WA MAKETE WAENDELEA KUBOMOA NYUMBA ZAO KWA HIYARI

Ikiwa imesalia siku moja tu kabla ya zoezi la kubomoa kwa hiari nyumba na mabanda yaliyopo kando mwa barabara Makete-Njombe eneo la makete mjini, kamera yetu imenasa picha za muonekano wa eneo la sokoni Makete mjini kama unavyoona, tayari nyumba zimebomolewa na nyingine zinaendelea kubomolewa.(Picha hii na Edwin Moshi)
 
© 2012. Design by Ernest James Siwigo Chambasi - Supported By John James Chambasi And Maganza Family