BREAKING NEWZ:MLIPUKO TENA ARUSHA!SAFARI HII KATIKA MKUTANO WA CHADEMA,MPAKA SASA MAJERUHI SABA WAPO KATIKA HALI MBAYA

Watu Saba Wamejeruhiwa Vibaya Na Kitu Kinachozaniwa Kuwa Ni Bomu Katika Mkutano Wa Chadema Uliokua Ukifanyika Soweto Jijini Arusha.Ni baada ya Mh Freeman Mbowe kumaliza kuhutubia na hatimaye limeua watu kadhaa. Hali ni ya hatari kwa sasa.
TUTAENDELEA KUWAJUZA HABARI ZAIDI KADRI ZITAKAVYOTUFIKIA
 
© 2012. Design by Ernest James Siwigo Chambasi - Supported By John James Chambasi And Maganza Family