UPDATING KUTOKA ARUSHA KWENYE MLIPUKO

Mwandishi kutoka Arusha katika mkutano wa Chadema Soweto Arusha leo anaripoti ni watu wawili wamefariki kwenye bomu lililolipuliwa saa kumi na mbili jioni ambapo majeruhi ni zaidi ya 10, pia gari la wagonjwa la Hospitali ya Mount Meru STK 8493 limevunjwa vioo kwa madai ya wananchi kwamba limeshindwa kuokoa maisha ya majeruhi, inaripotiwa pia bomu lililolipuliwa sio la polisi.

 
© 2012. Design by Ernest James Siwigo Chambasi - Supported By John James Chambasi And Maganza Family