SAJUKI KUZIKWA KESHOKUTWA DAR ES SALAAM MAKABURI YA KISUTU

 
MAMA MZAZI WA MAREHEMU SAJUKI


Aliyekua msanii wa tasnia ya filamu Juma kilowoko alimaarufu kama sajuki,amefariki  dunia alfajiri ya kuamkia Jumatano tarehe 2.01.2013 katika hospitali ya taifa ya muhimbili
Sajuki alizaliwa mwaka 1986 jijini Songea mkoani Ruvuma,ameacha mjane na mtoto mmoja wa kike

Kulingana na maelezo ya baba yake mzazi wa marehemu  ameeleza kuwa sajuki atazikwa siku ya ijumaa tarehe 4 mwez wa kwanza 2013 katika makaburi ya kisutu jijini Dar Es Salaam

Msiba upo nyumbani kwake Tabata Bima-Umoja Road karibu na RN Bar

2brothers ipo eneo la msibani kukujulisha kinachoendelea.........
Bwana Ametoa,Bwana Ametwaa,Jina lake Liimidiwe
 
© 2012. Design by Ernest James Siwigo Chambasi - Supported By John James Chambasi And Maganza Family