MH WAZIRI MIZENGO PINDA AMTEMBELEA BABA YAKE MUHIMBILI ALIPOLAZWA KITENGO CHA MOI



Waziri Mkuu Mizengo Pinda amjulia hali Baba yake mzazi Mzee Savere Kayanza Pinda ambaye amelazwa katika hospitali ya Taifa Muhimbili kitengo cha Moi Mzee Mizengo yupo hospitalini hapo baada ya kufanyiwa upasuaji kutokana na tatizo la nyonga kulia kwa Waziri Mkuu ni Muguzi Mkuu wa Zamu wodi hiyo Edna Mhina na kushoto kwa waziri mkuu ni Donatila Kwelukila ambaye ni afisa muguzi chumba cha wagonjwa mahututi.

Badhi ya Wasaidizi wa Waziri Mkuu wakimjulia hali mzee Savere Pinda aliyelazwa katika Hospitali ya Moi. (Picha zote na Chris Mfinanga).
 
© 2012. Design by Ernest James Siwigo Chambasi - Supported By John James Chambasi And Maganza Family