MTWARA YAWA KIMYA SIKU YA LEO,UNAJUA KWANINI? FUNGUA HAPA USOME

4mtr
Siku kama ya leo ni siku ambayo ipo kwenye kumbukumbu ya kilichotokea Mtwara kwenye lile sekeseka la kudai gesi ambapo Wananchi wa Mtwara wameamua kuifanya kama siku ya kukumbuka wale waliopoteza maisha kwenye sekeseke la Gesi.
Ingawa hii siku sio rasmi kiserekali, asilimia kubwa ya huduma mbalimbali mkoani Mtwara zimesitishwa ikiwemo daladala zinazotoka na kuingia katikati ya mji huo, maduka na baadhi ya huduma kama za sokoni.

5mtr
Baadhi Ya Maeneo Mkoani Mtwara Hali Ilivyo Sasa
6mtr
1mtr
2mtr
3mtr
8mtr
 
© 2012. Design by Ernest James Siwigo Chambasi - Supported By John James Chambasi And Maganza Family