YANGA INAONGOZA LIGI KUU VODACOM


Wachezaji wa Mbeya City.
Wachezaji wa timu ya Yanga Fc.
Yanga yaongoza Ligi Kuu  ya Vodacom baada ya kuishushia kipigo cha bao 3-0 JKT Oljoro na kufikisha pointi 28. Azam, Mbeya City zatoka suluhu ya 3-3 Chamazi, Dar na zote kufikisha pointi 27.
 
© 2012. Design by Ernest James Siwigo Chambasi - Supported By John James Chambasi And Maganza Family