![]() |
| Ni juzi tu ambapo Waziri wa mambo ya ndani Dr. Emmanuel Nchimbi alitangaza
kushikiliwa kwa watu tisa wanaotuhumiwa kuhusika na ujambazi uliofanywa
dhidi ya Dr. Sengondo Mvungi aliekua mjumbe wa Tume ya Marekebisho ya
Katiba Mpya na kiongozi wa NCCR-Mageuzi. Taarifa Zilizoenea hadi hivi sasa na kuthibitishwa Dr Mvungi amefariki dunia akiwa mahututi hospitalini nchini Afrika Kusini na taarifa kutumwa nyumbani Tanzania ambapo wafanyakazi wenzake ofisi ya tume ya mabadiliko ya katiba wameambiwa wakae karibu na simu zao ili kikitokea chochote kingine wafahamishwe. Tayari viongozi mbalimbali kama Mh. Warioba, Katibu wa tume, naibu na watumishi wengine wachache wamekwenda nyumbani kwa marehemu. |
Habari kubwa Magazetini Kenya leo March 3, 2025
8 months ago



