DIAMONDS ARE FOREVER KURUDI TENA DECEMBER

diamonds-are-forever-back
Show hiyo inayofanyika mara moja kwa mwaka this time imepangwa kufanyika 9th Dec….. siku yetu ya uhuru, Mambo kama haya yanaweza kuvutia vijana kuingia kwenye musiq na pia kuweza kuongeza ajira kwani kila Diamond anavyowezeshwa ndio anapopata nguvu ya kuajiri wengine kupitia talent yake.
Ni kama ada kwa Diamond Platinum kujipanga kila show, kwani kila show kwake ni kujipanga iipite nyingine ni matarajio ya wengi kama show hiyo itakuwa kubwa na yenye mipango iliyosimama, Star huyo aliyetokea Hongkong kupiga show yake kali amerejea nchini na kujipanga tena kwenda Belgium kwa show nyingine kabla ya kuangusha c0-operate finest on December lets wait and see whats popin…….
 
© 2012. Design by Ernest James Siwigo Chambasi - Supported By John James Chambasi And Maganza Family