DJ RANKEEM AZIKWA

Mke wa marehemu akilia kwa uchungu.
Mwili wa marehemu ukiombewa dua maalumu.
Mwili wa marehemu ukibebwa kuelekea makaburini.
Umati wa watu uliohudhuria  mazikoni.

Mwili wa marehemu Dj Rankeem ukizikwa.
Saigon, mdogo wa Dj Rankeem akimzika kaka yake wakatikati.
Picha ya kaburi la marehemu Dj Rankeem.
Familia ya marehemu ikiomba dua maalumu ya kifamilia.
Leo ndiyo yalikuwa mazishi ya Dj Rankeem Ramadhan aliyefariki dunia Novemba 6 mwaka huu katika Hospitali ya Mwananyamala jijini Dar, kwa maradhi ya kidole tumbo. Mazishi yamefanyika jioni ya leo katika makaburi ya Sinza jijini Dar na kuhudhuriwa na watu mbalimbali.
(Picha: Chande Abdallah/GPL)
 
© 2012. Design by Ernest James Siwigo Chambasi - Supported By John James Chambasi And Maganza Family