MALINZI KAZI NI KWAKO

Rais wa Shirikisho la Mpira wa miguu aliyemaliza muda wake,Leodger Tenga  akimkabidhi MpiraRais Mpya wa shirikisho hilo,Bwa.Jamal Malinzi  mara  baada ya kumshinda mpinzani wake aliyekuwa makamu wa Kwanza wa shirikisho hilo Bw. Athman Nyamlani kwa kura 73 kwenye uchaguzi uliofanyika katika ukumbi wa Water Front jijini Dar es salaam jana, Katika uchaguzi huo Mgombea wa umakamu wa wa rais Walace Karia amefanikiwa kuwashinda wapinzania wake Imani Madega na Ramadhan Nassib. 
 
© 2012. Design by Ernest James Siwigo Chambasi - Supported By John James Chambasi And Maganza Family