DIAMOND NA DAVIDO KUANGUSHA COLLABO YA MY NUMBER 1 REMIX

Diamond Na Davido
Mkali kutoka Afrika magharibi Nigeria Davido na mkali kutoka Afrika mashariki Diamond wakali wamekutana na kuingia studio kufanya remix ya ngoma ya “My No. One” . Kwa mara ya kwanza Davido na Diamond waliperform kwenye Serengeti Fiesta 2013 Part 2 show amabayo ilifanyika jana JUmapili baada ya wasanii wengine kushindwa kuperform katika Serengeti Fiesta part 1. Bado hakuna taarifa kama ngoma hio ya “My No. One” itafanyiwa video lini na itakuwa Tanzania au Nigeria au itafanyika kote Tanzania na Nigeria.


 
© 2012. Design by Ernest James Siwigo Chambasi - Supported By John James Chambasi And Maganza Family