LADY GAGA AACHA WATU MIDOMO WAZI KATIKA SHOW YAKE NDANI YA X FACTOR UK

Mwanamuziki Huyo Anayetokea America Huku Jina Lake Asili Akifahamika Kama Stefani Joanne Angelina Germanotta Lakini Wengi Wetu Tumemfahamu Kupitia Kazi Yake Iliyomzolea Umaarufu Mkubwa Duniani Na Tukamjua Kwa Jina La Kazi Yake Hiyo Ambaye Aliamua Kujiita Lady Gaga.
 Super Star Huyo Aliye Onyesha Kituko Cha Aina Yake Siku Ya Jana Katika Tv Show Ya  Shindano  La X Factor Alipoenda Kuperfom linalofanyika Huko UK Baada Ya Kutinga Kivazi Kinacho Mchora Mwili Wake Kwa Ndani Huku Miguu Yake Ikiwa Imepakazwa Rangi Nyeupe .Picha Zaidi Kama Unavyoziona Chini



 
© 2012. Design by Ernest James Siwigo Chambasi - Supported By John James Chambasi And Maganza Family