Taarifa zilizothibitishwa na rafiki wa karibu na msanii mwenzake Amini , zinasema mama yake
Barnaba amefariki nyumbani kwake alfajiri yaleo Jumamosi (June 22) kutokana na presha.Tunawapa pole ndugu, jamaa na marafiki wa karibu na familia ya Barnaba ambao wako katika kipindi hiki kigumu na Mungu alizae mahala pema roho ya marehemu, Amen.
Habari kubwa Magazetini Kenya leo March 3, 2025
8 months ago
