SHEREHE ZA MAADHIMISHO MIAKA 49 YA MAPINDUZI ZANZIBAR

         Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed      Shein,akikagua gwaride la Vikosivya ulinzi katika kilele cha sherehe za kutimiza Miaka 49 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, zilizofanyika leo katika uwanja wa Amaan Studium Mjini Unguja.
Dk.Shein akisalimiana na viongozi mbalimbali mara baada ya kuwasili.
Kikundi cha Burudani kikiongozwa nhekeshaji maarufu mjini Zanzibar Mze Alikuniki.a mc
                   Dk.Shein akikagua vikosi.
         Daktari Shein akisalimiana na Rais mstaafu wa Zanzibar Amani Karume.
          Waandamanaji kutoka Ofisi ya Makamu wa kwanza wa Rais.
          Wageni mbalimbali waliohudhuria sherehe hizo
 
© 2012. Design by Ernest James Siwigo Chambasi - Supported By John James Chambasi And Maganza Family