| Mgeni
rasmi katika kampeni ya Mradi wa Upandaji Miti jijini Mwanza, Henry
Mongi, akipanda mti wakati wa kampeni hiyo katika moja ya
mitaa ya jiji
hilo.Anayeshudia kulia ni Afisa Ubora wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL),
Caroline Muhonoli na wa pili kutoka kulia ni Diwani wa Kata ya Mkuyuni,
Fasheni Lugo. Mradi huo umefadhiliwa na Kampuni ya Bia Tanzania |