Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar,Dk.Ali
Mohamed Shein,akipokea Ripoti ya Tume ya Uchaguz Zanzibar,(ZEC) kutoka
kwa Mwenyekiti wake KhatibMwinyichande,alipoongoza ujumbe wa Tume hiyo
walipofika Ikulu Mjini Zanzibar,Kumuaga Rais kwa kumaliza muda wa kazi wa Tume hiyo jana.
[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]
|