
Apprux
application inapenda kuwatangazia kupatikana kwa android application
buree yenye uwezo wa kukusaidia kuperuzi kwenye vichwa vya habari vya
baadhi ya blogs, website na magazeti ya Tanzania, pia inakupa uwezo wa
kuona habari toka kwenye original source kwa urahisi zaidi
Application hii imetengenezwa kwa ajili ya watanzania na ni bure kabisa.
Kwa wote wenye phone yenye android 2.1 na kuendelea unaweza kutumia hii application kwenye simu yak bila shida.
Tunategemea itawasaidia, pia tunakaribisha maoni yenu kupitia email ya 2brothers9093@gmail.com
Kudownload ingia kwenye hii link https://play.google.com/store/ apps/details?id=com.ian. bongonews&feature=search_ result#?t= W251bGwsMSwxLDEsImNvbS5pYW4uYm 9uZ29uZXdzIl0.
Au kwenye simu yako ingia kwenye store halafu search peruzi
