Hii
inatokea maktaba ya matukio ya kusikitisha kwenye idara ya Hekaheka Kipindi Maarufu Kinachorushwa Na Kituo Cha Redio Kijulikanacho Kama Clouds Redio na
leo ni kuhusu dada aliyeamua kumkata mikono kwa kisu mtoto wa ndugu
yake kisa kikiwa ni shilingi elfu 10 ambazo anadai aliibiwa na mtoto
huyo ambaye ni mwanafunzi wa darasa la saba,hapa utamsikia mtoto
mwenyewe na mwalimu aliyempokea akiwa kachomwa moto.
Bonyeza play kusikiliza.
|