Mwili wa Baba mzazi wa Wema Sepetu, balozi Isaac Sepetu ambaye alifariki
siku ya jumapili asubuhi unatarajiwa kusafirishwa siku ya Jumatano
asubuhi kuelekea Zanzibar ambapo shughuli za mazishi zitafanyika siku
hiyo hiyo ya jumatano kisiwani huko.
Kupitia kipindi cha Kurasa cha EATV mtoto wa kiume wa Mzee Isaac ametoa ratiba kamili ya shughuli za mazishi zitakavyofanyika.
2brothers9093 Blog inapenda kutoa pole kwa Wema Sepetu na familia nzima kwa msiba mzito uliowakuta. Tupo pamoja kwenye wakati huu mgumu.
MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU MAHALI PEMA PEPONI…!!
Kupitia kipindi cha Kurasa cha EATV mtoto wa kiume wa Mzee Isaac ametoa ratiba kamili ya shughuli za mazishi zitakavyofanyika.
2brothers9093 Blog inapenda kutoa pole kwa Wema Sepetu na familia nzima kwa msiba mzito uliowakuta. Tupo pamoja kwenye wakati huu mgumu.
MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU MAHALI PEMA PEPONI…!!

