HALI YA NELSON MANDELA SIO NZURI TUZIDI KUMUOMBEA



Hali ya mzee MADIBA au NELSON MANDELA yalipotiwa kuwa si nzuri,hii ni baada kuripotiwa kulazwa katika hospital moja huko PRETORIA, AFRIKA KUSINI.Jina la hospitali alipolazwa haijajulikana rasmi,


Kwa mujibu wa taarifa  kutoka kwa familia yake anasumbulia na ugojwa  wa MAPAFU,na madaktari wanaendelea kumhudumia.Wananchi nchini AFRIKA KUSINI katika makanisa karibu yoote wanaendelea kumuombea mwanasiasa huyo mkongwe wa AFRIKA KUSINI apate nafuu haraka.
 
© 2012. Design by Ernest James Siwigo Chambasi - Supported By John James Chambasi And Maganza Family