MKWARA KWA WAPIGA PICHA I KUTOKA KWA BEYONCE



Baada ya kukerwa na picha alizopigwa wakati wa tamasha la SuperBowl ambazo anaona zilimdhalilisha, mwanamuziki Beyonce amefikia maamuzi magumu ya kuwakataa wapiga picha

Kwa mujibu wa barua pepe iliyotumwa kwenye ukurasa wa facebook wa Umoja wa Wapiga picha za Muziki imeeleza kuwa mwanamuziki huyo haitaji tena wapiga picha katika shoo za ziara yake ya sasa ya Ulaya

Badala yake amekuwa akitoa picha rasmi zilizopigwa kutoka katika shoo na wapiga picha maalum aliowakodisha
 
© 2012. Design by Ernest James Siwigo Chambasi - Supported By John James Chambasi And Maganza Family