WAZIRI WA HABARI ZANZIBAR ANENA KUHUSU ZANZIBAR KUHAMA ANOLOJIA KWENDA DIGITAL



 Waziri wa Habari,Utamaduni,Utalii na Michezo Saidi Ali Mbarouk akijibu maswali ya waandishi wa habari hawapo pichani kulia ni Naibu Waziri wa Habari,Utamaduni,Utalii na Michezo Bihindi Khamisi Hamadi.
 Mwandishi wa habari Bw.Salum Vuai akiuliza suali kwa Waziri hayupo pichani juu ya upatikanaji wa vinga`muzi  huko katika ukumbi wa habari maelezo mjini Zanzibar.
 -Waziri wa Habari,Utamaduni,Utalii na Michezo Saidi Ali Mbarouk akizungumza na waandishi wa habari wa vyombo mbali mbali juu ya suala zima la kuuingia katika mfumo wa Digitali huko katika ukumbi wa habari maelezo kikwajuni mjini Zanzibar. 


Jengo linalotarajiwa kufungwa vifaa vya mitambo ya Digitali lililopo Rahaleo mjini Zanzibar.Picha zote na Makame Mshenga-Maelezo Zanzibar
 
© 2012. Design by Ernest James Siwigo Chambasi - Supported By John James Chambasi And Maganza Family