SEKTA BINAFSI WAKUTANA NA WIZARA

 Mwenyekiti wa Taasisi ya sekta Binafsi (TPSF)   Bw. Reginald Mengi wa pili kushoto akieleza jambo wakati wa kikao baina ya TPSF na Wizara. Wanaosikiliza ni Mkurugenzi Mtendaji  wa TPSF Bw. Godfrey Simbeye na (katikati mbele) ni Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini Bw. Eliakim Maswi.
 Sehemu ya wajumbe waliohudhuria kikao baina ya Wizara ya Nishati na Madini na TPSF wakifuatilia majadiliano wakati wa kikao hicho.
Baadhi ya Wawakilishi kutoka Sekta Binafsi (TPSF) waliofika katika kikao hicho wakifuatilia kikao hicho.