COASTAL UNION YAANZA VIZURI MAZOEZI OMAN

Coastal Union (wenye jezi nyekundu) wameanza ziara yao ya Oman leo kwa ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya wenyeji Musannaa. Coastal ipo huko kwa ziara ya kujiandaa na mzunguko wa pili wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara