2BROTHERS
Habari
COASTAL UNION YAANZA VIZURI MAZOEZI OMAN
Coastal Union (wenye jezi nyekundu) wameanza ziara yao ya Oman leo kwa ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya wenyeji Musannaa. Coastal ipo huko kwa ziara ya kujiandaa na mzunguko wa pili wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara
‹
›
Home
View web version