WAZIRI MKUU PINDA AZINDUA MRADI WA UMEME WILAYANI NANYUMBU

Waziri mkuu Mizengo Pinda akikata utepe kuashiria uzinduzi wa mradi wa umeme wilaya ya Nanyumbu kulia ni waziri wa nishati na madini Prof Sospeter Muhongo na kutoka kushoto ni Meneja Mwandaminzi wa TANESCO, Kanda ya Dar es salaam na Pwani  inayojumuisha  mikoa ya Lindi na Mtwara Mhandisi  Mahende Mugaya,mkuu wa wilaya ya Nanyumbu, mkuu wa mkoa wa Mtwara Kanal mstaafu Joseph Simbakalia, Mbuge wa Nanyumbu Dastani Mkapa.
 Waziri mkuu  Mizengo Pinda akiangalia moja  kati ya magari yaliyo chomwa moto nyumbani kwa  Mbuge wa Masasi Mariam Kasembe  wakati wa vurugu mwaka moja uliopita alipotembelea wilaya hiyo.
 Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiangalia Mpira wa Matambara wa kijana Hasani Kasim alipokuwa katika ziara ya kukagua adhari za vurugu mwaka mmoja uliopita katika Wilaya ya Masasi .
 Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiangalia Mpira wa Matambara wa kijana Hasani Kasim alipokuwa katika ziara ya kukagua adhari za vurugu mwaka mmoja uliopita katika Wilaya ya Masasi .
Sehemu ya jengo la CCM Wilaya ya Masasi ambalo liliteketezwa na moto mwaka jana. (Picha zote na ofisi ya Waziri Mkuu) 

 Waziri mkuu  Mizengo Pinda akikagua nyumba ya Mbuge wa Masasi Mariam Kasembe ambayo ilichomwa moto wakati wa vurugu mwaka moja uliopita alipotembelea wilaya hiyo.Kulia ni Omary Lada mume wa Mbuge