MKUU WA POLISI WILAYA (OCD) IRINGA APATA AJALI

Askari  waliokuwa  wakielekea katika mkutano   wa uzinduzi wa  kampeni  za CCM kata  ya  Nduli Iringa mjini wakitazama gari  ambalo alikuwa akiendesha  OCD Iringa  lililopata  ajali majira ya saa 10 jioni leo (jana)  jumapili japo hakuna  aliyepoteza maisha  ktk ajali hiyo iliyotokea  kona  la Mgongo barabara ya Iringa-Dodoma

wasomi  wa  chuo  kikuu cha Iringa wakitazama  ajali hiyo ambayo dereva  wake OCD Iringa  alinusurika  kifo na  kuumia mkono  wake  kiasi.Picha na Francis Godwin-Iringa