Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akizungumza na waumini wakati wa Ibada maalum ya Harambee ya kuchangia
ujenzi wa Ukumbi wa mikutano wa Kanisa la Mtakatifu Peter lililopo
Oysterbay jijini Dar es Salaam, leo asubuhi
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akisalimiana na Mwadhama Cardinali Polycap Pengo, wakati wa ibada
maalum ya Harambee ya kuchangia ujenzi wa Ukumbi wa mikutano wa Kanisa
la Mtakatifu Peter lililopo Oysterbay jijini Dar es Salaam, leo asubuh
Rais
Mstaafu wa awamu ya tatu, Benjamin Mkapa, akisalimiana na Mwadhama
Cardinari Polycap Pengo, wakati wa ibada maalum ya Harambee ya kuchangia
ujenzi wa Ukumbi wa mikutano wa Kanisa la Mtakatifu Peter lililopo
Oysterbay jijini Dar es Salaam, leo asubuh.
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akisalimiana na Rais Mstaafu wa awamu ya tatu, Mhe Benjamin Mkapa,
wakati alipowasili kwenye Kanisa la Mtakatifu Peter Oysterbay, leo
asubuhi kwa ajili ya kushiriki katika Harambee ya kuchangia Ujenzi wa
Ukumbi wa mikutano wa Kanisa hilo. ambapo zaidi ya Sh. milioni 65
zilipatikana kati ya Sh. milioni 600, zinazohitajika hadi ifikapo mwezi
Julai. Kati ya hizo Cash ni Sh. milioni 5 na zilizobakia zikiwa ni
ahadi.
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal
na Rais Mtaafu wa awamu ya tatu Benjamin Mkapa, wakishiriki katika Misa
maalum ya Harambee ya kuchangia Ujenzi wa Ukumbi wa mikutano wa Kanisa
la Mtakatifu Peter lililopo Oysterbay jijini Dar es Salaam, leo asubuhi
Jan 26, 2014
Mwadhama
Cardinali Polycap Pengo akiongoza ibada maalum ya Harambee ya kuchangia
ujenzi wa Ukumbi wa mikutano wa Kanisa la Mtakatifu Peter lililopo
Oysterbay jijini Dar es Salaam, leo asubuh
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal
na Rais Mtaafu wa awamu ya tatu Benjamin Mkapa, wakishiriki katika Misa
maalum ya Harambee ya kuchangia Ujenzi wa Ukumbi wa mikutano wa Kanisa
la Mtakatifu Peter lililopo Oysterbay jijini Dar es Salaam. Kushoto ni
Mkurugenzi Mkuu wa PPF Bw. William Erio
Baadhi ya waumini wa dini ya Kikristu waliohudhuria Ibada hiyo kwenye ibada hiyo.
Baadhi ya waumini wa dini ya Kikristu waliohudhuria Ibada hiyo kwenye ibada hiyo.
Baadhi ya waumini wa dini ya Kikristu waliohudhuria Ibada hiyo kwenye ibada hiyo.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib
Bilal,
akisikiliza maelezo kutoka kwa Paroko wa Parokia ya Mtakatifu Peter,
Stephano Kaombe, kuhusu maendeleo ya ujenzi wa Ukumbi wa mikutano wa
Kanisa la Mtakatifu Peter lililopo Oysterbay jijini Dar es Salaam,
wakati wa harambee ya kuchangia ujnenzi wa Ukumbi huo iliyofanyika leo
asubuhi
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akizungumza na Rais Mstaafu wa awamu ya tatu, Benjamin Mkapa wakati
alipotembelea kukagua maendeleo ya ujenzi wa ukumbi wa mikutano wa
Kanisa la Mtakatifu Peter, baada ya ibada maalum ya harambee ya
kuchangia ujenzi huo, iliyofanyika leo asubuhi, Jan 26, 2014. Kushoto ni
Paroko wa Parokia ya Mtakatifu Peter, Stephano Kaombe
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Bilal, akiongoza na na
Rais Mstaafu Benjamin Mkapa, kutoka kanisani baada ya ibada hiyo.
Picha ya pamoja ya kumbukumbu ya siku hii adhimu
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal
na Rais Mtaafu wa awamu ya tatu Benjamin Mkapa, wakisindikizwa baada ya
kushiriki katika Misa maalum ya Harambee ya kuchangia Ujenzi wa Ukumbi
wa mikutano wa Kanisa la Mtakatifu Peter lililopo Oysterbay jijini Dar
es Salaam. Picha na OMR














